Saturday, 12 September 2015

 
MANCINI: NITAMSAINISHA  BALOTELLI  INTER MILAN

 Mancini: I almost signed Balotelli for Inter

Boss wa zamani wa  manchester city anaamini kwamba mshambuliaji Super Mario Baloteli ni mzuri kiasi cha kuweza kuchukua nafasi ya Mauro Icard katika kikosi cha timu ya Taifa ya Italia,
Manager huyo wa Inter milan  Roberto Mancini amesema anavutiwa sana na mchezaji huyo aliyetaka kumsainisha mkataba kabla ya Baloteli kujiunga na AC Milan.

No comments:

Post a Comment