Wednesday, 15 July 2015

ANGEL DI MARIA ANAWEZA KUTUA PSG,
Jorge Mendes amewasili  Paris kama  wakala wa angel dimaria   tayari kufanya mazungumzo kuhusu uhamisho wa mchezaji huyo wa mashetani wekundu manchester united kuhamia PSG.



Mshambuliaji wa Uruguay  Edinson Cavani amekuwa akifuatiliwa na manchester united kwa muda mrefu na anaweza kubadilishana  na Angel Dimaria .





No comments:

Post a Comment