Tuesday, 16 June 2015


ARSENAL WAJA NA UZI MPYA

The five Arsenal players pose inside the stadium - the new Arsenal home kit will be on sale on June 25
Asenal ndani ya uzi mpya















Wachezaji wa Arsenal kutoka kushoto Hector Bellerin, Tomas Rosicky, Santi Cazorla, Danny Welbeck na Nacho Monreal wakionyesha jezi zao mpya za nyumbani msimu wa 2015-2016 katika hafla iliyofanyika Uwanja wa Emirates usiku wa jana. Jezi hizo mpya za Washika Bunduki hao zinatarajiwa kuingia sokoni Juni 25, mwaka huu.

No comments:

Post a Comment